Huu ni ushindi wake wa kwanza, baada ya kufanya vema katika hatua zote 18 za mashindano hayo kwa kuwa na muda bora wa saa tatu, dakika 16 na sekunde tano. “Huu ni ushindi muhimu sana kwangu. Asanteni ...
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limepokea magari manne mapya aina ya Robur Armored TLC300 ukiwa ni mgao kutoka kwa Mkuu wa Jeshi hilo nchini. Mkoa wa Mbeya unakuwa mkoa wa kwanza kupata mgao wa magari ...
Katika hali isiyo ya kawaida, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, amelazimika kuchukua jukumu la askari wa usalama barabarani na kusaidia kuongoza magari kufuatia msongamano mkubwa wa magari jioni ya ...
Mashindano ya dunia ya kukimbiza Magari, Kenya Safari Rally, yanaendelea kushika kasi mjini Naivasha ambapo madereva mbalimbali duniani, wanachuana kutafuta ubingwa. Nani ataibuka bingwa ?
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results