Simu zetu janja zinazidi kuwa na akili zaidi. Wiki iliyopita, Apple imekuwa kampuni ya hivi karibuni ya simu za mkononi kutangaza itaongeza akili mnemba (AI) kwenye mfumo wa uendeshaji wa simu zake.
Mwaka uliopita, Google imefanya mabadiliko, na pengine umeyaona. Jambo la kwanza unaloona katika matokeo ya utafutaji wako, mara nyingi ni jibu linalotolewa na akili ya mnemba (AI), badala ya orodha ...
Some results have been hidden because they may be inaccessible to you
Show inaccessible results